" KLABU YA CHELSEA KUELEKEA MAREKANI KWA MAANDALIZI YA MSIMU MPYA 2024/2025.

KLABU YA CHELSEA KUELEKEA MAREKANI KWA MAANDALIZI YA MSIMU MPYA 2024/2025.


Na Elisha Petro

Klabu ya  Chelsea inatarajia kuweka kambi nchini Marekani baada ya kumalizika kwa msimu huu 2023/2024 ili kujiweka sawa kuelekea msimu ujao 2024/2025.

24/07/2024 watacheza mchezo wa kwanza dhidi ya Wrexham kutoka nchini Wales inayo shiriki league two nchini humo.

Baada ya siku tatu yaani 27/07/2024 watamenyana na Celtic mabingwa watetesi wanaoshiriki ligi kuu nchini Scotland na tarehe 31/07/2024 watashuka dimbani kuwakaribi América inayoshiriki ligi kuu nchini Mexico.

Mchezo wa nne kwa Chelsea atamkaribisha Manchester City 03/08/2024 na mnamo tarehe 06/08/2024 watamaliza michezo yao ya kirafiki dhidi ya Real Madrid.

Post a Comment

Previous Post Next Post