" FURSA YA ELIMU BORA KATIKA SEKTA YA MADINI NA MAFUTA – JISAJILI SASA KATIKA CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS)

FURSA YA ELIMU BORA KATIKA SEKTA YA MADINI NA MAFUTA – JISAJILI SASA KATIKA CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS)

🟢FURSA YA ELIMU BORA KATIKA SEKTA YA MADINI NA MAFUTA – JISAJILI SASA KATIKA CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS)

📍 Earth Science Institute of Shinyanga

Anza safari yako ya kitaaluma kwenye Sekta ya Madini na Mafuta!
Udahili kwa ngazi ya Cheti (Certificate) na Diploma unaendelea kwa kozi zifuatazo:

Exploration and Mining Geology (Utafiti na Uchimbaji wa Madini)
Petroleum Geology (Jiolojia ya Mafuta na Gesi Asilia)

🟨 Pia, tunatoa Kozi Maalum za Muda Mfupi (Tailor Made Short Courses) kwa mahitaji ya wadau wa sekta ya madini na mafuta.


🎯 Wanafunzi wote wenye sifa ya kupata mkopo wa Serikali kupitia Bodi ya Mikopo (HESLB) watapata fursa hiyo kwa mujibu wa taratibu na vigezo vya Serikali.


📌 Jisajili Sasa Kupitia Mfumo wa Mtandao:
🌐 www.esis.ac.tz

📞 Mawasiliano:
+255 765 434 604
+255 687 434 617

GUSA LINK HAPA CHINI👇


Post a Comment

Previous Post Next Post