



























🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Ibada ya Jumapili katika kanisa moja maarufu eneo la Kihonda ilikatizwa ghafla kwa taharuki, baada ya mwanamke mmoja kuvamia madhabahu akiwa na machozi na kuanza kupiga kelele akimtuhumu mume wake, ambaye ndiye mchungaji wa kanisa hilo, kwa usaliti wa ndoa yao.
Kwa mujibu wa waumini waliokuwepo, ibada ilikuwa ikiendelea kwa hali ya utulivu hadi pale mwanamke huyo alivyoingia ghafla kupitia mlango wa upande wa madhabahu akiwa amevaa vazi la kawaida na viatu vya mpira. Bila kutoa ishara yoyote ya kusalimia, alianza kulia kwa sauti na kumwita mchungaji huyo kwa jina lake la nyumbani, jambo ambalo liliwashangaza wengi.
“Mwanzo tulidhani ni muumini aliyekuwa na shida ya kiroho,” alisema dada mmoja wa kanisa hilo. “Lakini tuliposikia maneno yake, tukagundua ni mke wa mchungaji.”
Mke huyo alimshtaki hadharani mumewe kwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mke wa muumini mmoja anayehudhuria kanisa hilo. Kilichowashangaza wengi hata zaidi ni hatua ya mchungaji huyo kuangusha Biblia yake na kutokomea kwa kasi kupitia mlango wa nyuma bila hata neno moja.
Ibada ikasitishwa. Waumini wakabaki midomo wazi, baadhi wakilia, wengine wakijiuliza kama kweli mafundisho ya mchungaji huyo yalikuwa ya kweli au maigizo tu. Mwanamke huyo aliendelea kulia na kusema kuwa kila mtu alimchukulia kuwa mjinga, ilhali alikuwa akivumilia kwa ajili ya ndoa yao ya miaka 14.
Kisa Cha Ajabu Kilichotanguliwa Na Matukio Yasiyoeleweka
Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa familia hiyo, matatizo kati ya mchungaji huyo na mkewe yalianza miezi kadhaa iliyopita, ambapo mwanamke huyo alianza kuhisi mabadiliko ya ajabu kwa mumewe. Alieleza kuwa alikuwa akirudi nyumbani saa za usiku sana, akitoa visingizio visivyo na mantiki na mara nyingine alilazwa na wanawake waliodai kumhitaji kwa maombi ya dharura.
Baadhi ya majirani wa karibu pia walidai kuwa waliona mabadiliko katika mwenendo wa mke wa mchungaji, huku akionekana amedhoofika kimwili na mara kwa mara akizimia bila sababu dhahiri. Walipojaribu kumuuliza, alidai alikuwa katika maombi ya mfululizo kwa ajili ya ndoa yao.
Hata hivyo, siku chache kabla ya tukio hilo, mke wa mchungaji alitoweka kwa siku mbili bila maelezo, na alirudi akiwa na mwonekano mpya wa kujiamini na utulivu wa ajabu. Rafiki yake wa karibu alisema kuwa alifichua kuwa alikuwa amechukua hatua ya “kitaalamu” kuhakikisha haki inatendeka kwa ndoa yake.
Ndani ya siku mbili tu, akaanza kupata ishara za wazi kuwa ukweli unafichuka. Ndipo akaamua kwenda moja kwa moja kanisani Jumapili hiyo na kukabiliana na mumewe.
Ukweli Ukijulikana, Wengi Huwachwa Midomo Wazi
Wale waliokuwa wakimtazama kama mnyonge sasa wanasema hawajawahi kuona mtu akibadilika kwa kasi kama huyo mama. Anaonekana kujiamini, kurejea kazini kwake aliyokuwa ameacha kwa msongo wa mawazo, na hata watu waliokuwa wakimtenga wameanza kumuomba msamaha.
“Tulidhani atavunjika kabisa,” alisema jirani mmoja. “Lakini sasa ni kama ndiye anayewahubiria wengine kuwa na msimamo na kujua haki zao.”
Tangu siku hiyo ya tukio, mchungaji hajarejea tena kanisani. Baraza la wazee limeitisha kikao cha dharura kujadili hatma ya uongozi wa kiroho, huku waumini wakitaka ukweli wote wawekwe wazi.
Pata Suluhisho Lako Sasa Kabla Hali Haijaharibika
Kama wewe pia unateseka kimya kimya katika ndoa, mahusiano au hata familia kwa jumla, usikae kimya hadi hali iwe mbaya. Wapo waliotafuta msaada kwa njia sahihi, wakaona mabadiliko yasiyoelezeka. Unastahili amani na haki kama wengine.
Wasiliana kwa nambari hii ili usaidike haraka bila kuumizwa tena:
+255 763 926 750
Ulimwengu umejaa maajabu. Wakati mwingine suluhisho lipo karibu zaidi kuliko unavyodhani. Usingoje mpaka ukubali kudhalilika hadharani.
SOMA ZAIDI
Post a Comment