" Klabu ya Simba SC imemtangaza rasmi Kocha Msaidizi, Matola Ndio Basi Tena

Klabu ya Simba SC imemtangaza rasmi Kocha Msaidizi, Matola Ndio Basi Tena

 

Klabu ya Simba SC imemtangaza rasmi Kristopher Bergman kuwa kocha msaidizi mpya wa timu hiyo, ikiwa ni sehemu ya maboresho ya benchi la ufundi kuelekea mashindano yajayo ya ndani na kimataifa.

Uongozi wa Simba SC umeeleza kuwa ujio wa Bergman unalenga kuongeza ubora wa kiufundi, mbinu na uzoefu ndani ya benchi la ufundi, ili kuimarisha ushindani wa kikosi katika Ligi Kuu ya NBC, Kombe la Shirikisho pamoja na michuano ya CAF.

 

Post a Comment

Previous Post Next Post