Timu ya Taifa ya Morocco imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Canada mabao 3-0 katika mchezo wa hatua ya 16 Bora.
Mabao ya Morocco yalifungwa na Azzedine Ounahi aliyetikisa nyavu dakika za 50 na 82, huku Soufiane Rahimi akifunga bao la tatu dakika ya 90+7.
Kwa ushindi huo, Morocco imefuzu kwa robo fainali ya Kombe la Dunia 2026, huku wenyeji wenza Canada wakiaga rasmi mashindano hayo
SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment