TAASISI ya Dini ya Kiislam ya Thaaqib yenye Makao makuu
yake Jijini Mwanza eneo la mtaa wa Ghana inayomiliki
Nyasaka Islamic sekondari school pamoja na Thaaqib Islamic preimary school iliyopo eneo
la Kiloleli wamefanya tamasha la usafi katika shule ya Nyasaka Islamic sekondari
schol baada ya miaka 10 kuwa mikononi mwa IPC hata hivyo wameahidi kurudisha UFAULU
wa
DIVISIO ONE hapo awali kwa kidato cha KWANZA na kidato cha NNE kama ilivyokuwa awali huku wakitoa wito kwa wazazi kupeleka wanafunzi katika
shule hizo.
Kiongozi wa Taasisi ya Thaaqib, Alhaj Nurdin Simba amesema,waislam
wamefika Nyasaka Islamic sekondari school kufanya usafi
kutokana na uwepo wa uchafu katika maeneo mbalimbali ya shule hiyo ili
wanafunzi watakaporejea kutoka likizo wakute mazingira masafi na salama
vikiwemo vyoo pamoja na mabweni.
TAASISI YA DINI YA KIISLAM YA THAAQIB YAAHIDI KURUDISHA UFAULU WA DIVISION ONE KWA KIDATO CHA KWANZA NA NNE.
MATUKIO DAIMA TV ONLINE
0
Post a Comment