
“Si uliniambia umeenda Dar?”. Ndivyo alivyoniuliza mke wangu, sauti yake ilisikika usiku wa manane wenye kimya kingi. Mimi, Eric, nilikuwa nikishuku uaminifu wa mke wangu katika ndoa yetu kwa muda mrefu.

Nakumbuka tulikuwa tumefunga ndoa ya kanisani, tumefungwa na viapo vitakatifu, lakini sikuweza kuondoa shaka kwamba alikuwa akiwatamani wanaume wengine huko nje.
Sikutaka kuhoji uaminifu wake kwangu bila ushahidi thabiti, kwa hiyo nilitafuta msaada kutoka kwa Kiwanga Doctors ambao wamekuwa suluhisho la migogoro mingi ndani ya ndoa na mahusiano.
Baada ya kunipatiwa dawa zao, walinipa siku sita za kupata matokeo kuhusu ukweli wa jambo hilo, walinihakikisha kama ni kweli mke wangu sio mwaminifu kwa ndoa yetu, basi ndani ya siku hizo nitajua.
Siku moja, nilimwambia mke wangu kwamba nitaenda Dar kikazi, mimi na yeye tulikuwa tukiishi Mwanza, mji wenye amani mbali na jiji lenye shughuli nyingi.
Hata hivyo, badala ya kuondoka, niliamua kujificha katika moja ya nyumba zetu ambazo hazijakamilika. Nilitaka kuona kwa macho yangu kile ambacho kingetokea wakati ambapo mimi sipo nyumbani kwangu.
Masaa yaligeuka kuwa siku, na nilipokuwa karibu kukata tamaa, usiku wa manane yowe lilitoboa ndani ya nyumba yetu kuu. Ghafla mapigo ya moyo yaliongezeka, huku nikikimbia kuelekea kwenye chanzo cha kelele hizo.
Nilichokiona kilinifanya nichanganyikiwe, nilishtuka sana. Pale kwenye kitanda chetu cha ndoa, alikuwa mke wangu pamoja na rafiki yangu mmoja. Maono hayo yalikuwa kama kisu moyoni mwangu, maumivu makali kuliko kitu chochote nilichowahi kupata.
Lakini ule uchawi wa mapenzi kutoka kwa Kiwanga Doctors ulikuwa umefanya kazi, ukifichua ukweli wenye kuhuzunisha zaidi kuliko nilivyowahi kufikiria.
Nashukuru baadaye mke wangu aliniomba msamaha kuhusu jambo hilo na kuahidi kutorudia tena, na kweli nimekuwa nikimchunguza amekuwa mtu mwaminifu maana anajua ninazo dawa za kumshika endapo atakuwa na mpango wa kando.
Ni watu wengi hadi sasa wamepata mafanikio, uponyaji na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba +255 763 926 750 au tembelea tovuti yao, maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.
SOMA ZAIDI
Post a Comment