Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametembelea familia na kuweka Shada la Maua katika kaburi la aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Hayati Mzee Cleopa David Msuya katika Kijiji cha Chomvu Usangi Wilaya ya Mwanga, Mkoani Kilimanjaro.
Post a Comment