"Mimi bado ni mwanachama wa Chama cha Mapinduzi na nitaendelea kuwepo. Mimi sihami, CCM nipo sana, tunabanana humu humu ndani mpaka paeleweke pakae vizuri. CCM ni chama cha kidemokrasia kama ilivyo madhumuni ya katiba yake." - Askofu Josephat Gwajima
Gwajima: CCM Sihami, Tunabanana Mpaka Kieleweke
Misalaba
0
Post a Comment