" Jackpot Ilikua Kama Ndoto Mpaka Nilipojua Siri ya Mshindi wa Kweli!

Jackpot Ilikua Kama Ndoto Mpaka Nilipojua Siri ya Mshindi wa Kweli!




Mara ya kwanza nilipopata droo ya SportPesa ilikuwa mwaka jana mwezi wa nne. Nilikuwa nimeweka dau la shilingi 200 tu, na nilipata mechi zote sawa isipokuwa moja. Wale ambao walikuwa wamecheza kama mimi waliambulia mamilioni. Mimi nilibaki nikikodolea simu macho, nikijiuliza, “Mbona yangu tu ndiyo ikosee?”


Mwezi mmoja baadaye, bahati ilinichezea tena. Nilikosa timu mbili kati ya kumi na nane. Nafasi ilikuwa pale, ushindi ulikuwa karibu, lakini nikabaki na mshangao na huzuni. Nikaapa kutocheza tena.

Lakini kama mdudu wa mchezo, nikajikuta nimerudi tena kwenye programu ya kubet, mwezi wa saba nikakosa tena jackpot kwa mechi moja tu. Hii ya tatu iliniuma zaidi. Nilihisi kuna mkono wa kiroho unazuia ushindi wangu.

Rafiki yangu mmoja wa karibu aliniambia, “Wewe si wa kawaida. Hii si bahati mbaya tu. Kwanza unazikaribia jackpot mara nyingi sana kuliko watu wa kawaida.

Lazima kuna kitu kinakulinda au kinakuzuia.” Hapo ndipo aliniongelea kuhusu watu wanaoweza kusaidia kuvunja vizuizi vya bahati hasa kwa wale wanaocheza michezo ya kubashiri.

Sikuchukua muda. Alinipatia namba ya Kiwanga Doctors, akanisihi niwasiliane nao haraka. Nilipowapigia, nilieleza kila kitu: nafasi tatu za jackpot zilizopita mikononi mwangu bila ushindi, hasara niliyopata, na hisia kwamba kuna nguvu inanizuia. Walinielewa mara moja. Walisema, “Bahati yako iko juu, lakini kuna kizuizi cha kiroho cha ukoo na chuki fulani kutoka kwa watu wa karibu.”



Nilielekezwa kufanya maombi maalum kwa siku tatu. Pia waliniandalia hirizi ndogo ya kuifunga kwenye kifaa changu simu ninayotumia kubet. Niliambiwa nifanye kila kitu kimya, nisimwambie mtu yeyote. Kwa mtu wa kawaida, haya yangeonekana kama mambo ya ajabu. Lakini kwa mimi ambaye nilikuwa nimeshikwa na tamaa ya kutaka ushindi halali, nilitii kila agizo bila shaka.

Wiki moja baadaye, nikacheza jackpot mpya. Kwa mara ya kwanza, nikahisi utulivu tofauti. Sikutetemeka kama zamani. Siku ya mwisho, mechi ya mwisho, goli likapatikana dakika ya mwisho na nikashinda! Kiasi kilikuwa zaidi ya shilingi milioni 24.

Sikuamini. Niliangalia akaunti yangu ya SportPesa tena na tena. Nilitoka nje, nikaketi sakafuni, nikiwa nimeduwaa. Nilicheka, nikalia, nikapiga magoti.

Niliweza kulipia madeni yangu yote ya nyuma. Nikanunua gari ndogo ya kunisaidia kuendesha biashara. Nilifungua duka la vifaa vya kielektroniki mtaani. Na zaidi ya yote, nilitunza pesa hizo kwa akili na mwongozo niliopata kutoka kwa Kiwanga Doctors pia walinisaidia hata katika sehemu ya kulinda hela isiwe ya ajali au kuvutwa na marafiki wabaya.



Watu waliokuwa wakinicheka sasa walinigeukia kwa ushauri. Walidhani nilikuwa na connection au niliingia kwa bahati. Nilicheka kwa ndani wakati mwingine si bahati, ni msaada sahihi wa kiroho.

Kama umewahi kushika ushindi kwa karibu na ukaukosa, kama unahisi kila ukicheza kuna nguvu inakukatiza, basi usinyamaze. Kuna njia ya kufungua hiyo bahati yako na kuilinda.

Mimi nilisaidiwa na Kiwanga Doctors.
Simu: +255 763 926 750

SOMA ZAIDI

Post a Comment

Previous Post Next Post