Bwana Cossan(HA) amechaguliwa katika uchaguzi uliofanyika wakati wa kongamano la mkutano mkuu wa mwaka 2025 wa chama hicho uliofanyika mkoani Kilimanjaro katika ukumbi wa hospital ya KCMC tarehe 28/9/2025
Sambamba na hilo uchaguzi huo uliwakutanisha wanataluma na wajumbe kutoka mikoa mbalimbali nchini, ikiwa sehemu ya kongamano la kitaaluma lililolenga kukumbushana wajibu wa kitaaluma na fursa zinazojitokeza kwa wasaidizi wa afya katika sekta ya afya nchini
Hatahivyo mkutanao huo umeazimia kwa kura ya ndio ya maazimo ya kufanyika mkutano mkuu ujao wa mwaka 2026 katika Jiji la dar es salaam,hili limetokana na wingi wa kura za wajumbe kuridhia mkutano kufanyika jijini dar es salaam.
Kwa upande wa hospital ya KCMC uliongozwa na mkurugenzi wa hospital hiyo Professor Masenga ambaye alikua mgeni rasmi katika kamano Hilo.
Katika hotuba yake amewaasa wanataluma na wanachama cha wasaidizi wa Afya Tanzania kuyaishi maadili ya kazi ili kuendeleza chachu ya maendeleo katika kutoa huduma za Afya nchini.
GUSA LINK HAPA CHINI👇
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Post a Comment