
Matumaini ya Tanzania kufuzu kombe la Dunia la FIFA 2026 yamekufa rasmi kufuatia kipigo cha 1-0 nyumbani dhidi ya Chipolopolo wa Zambia kwenye mchezo wa mwisho wa Kundi E kwa Stars huku Zambia ikiweka hai matumaini ya kufuzu.
Zambia itacheza na Niger kwenye mchezo wa raundi ya mwisho ikiwa na matumaini ya kumaliza nafasi ya pili ikiwa itapata ushindi.
FT: Tanzania 0-1
Zambia
75′ Sakala
FT: Niger 3-1
Congo
MSIMAMO KUNDI E Morocco — mechi 7 — pointi 21
Niger — mechi 7 — pointi 12
Tanzania — mechi 8 — pointi 10
Zambia — mechi 7 — pointi 9
Congo — mechi 7 — pointi 1
Eritrea — mechi 0 — pointi 0
Post a Comment