" Taifa Stars Yapoteza Nyumbani Dhidi ya Zambia, Matumaini ya World Cup 2026 Kwishney

Taifa Stars Yapoteza Nyumbani Dhidi ya Zambia, Matumaini ya World Cup 2026 Kwishney

 

Matumaini ya Tanzania kufuzu kombe la Dunia la FIFA 2026 yamekufa rasmi kufuatia kipigo cha 1-0 nyumbani dhidi ya Chipolopolo wa Zambia kwenye mchezo wa mwisho wa Kundi E kwa Stars huku Zambia ikiweka hai matumaini ya kufuzu.

Zambia itacheza na Niger kwenye mchezo wa raundi ya mwisho ikiwa na matumaini ya kumaliza nafasi ya pili ikiwa itapata ushindi.

FT: Tanzania 🇹🇿 0-1 🇿🇲 Zambia
⚽ 75′ Sakala

FT: Niger 🇳🇪 3-1 🇨🇬 Congo

MSIMAMO KUNDI E
🇲🇦 Morocco — mechi 7 — pointi 21
🇳🇪 Niger — mechi 7 — pointi 12
🇹🇿 Tanzania — mechi 8 — pointi 10
🇿🇲 Zambia — mechi 7 — pointi 9
🇨🇬 Congo — mechi 7 — pointi 1
🇪🇷 Eritrea — mechi 0 — pointi 0

Post a Comment

Previous Post Next Post