
Wananchi wa Senegal wameanzisha kampeni ya kuchanga ili kulipa faini ya dola za Marekani 100,000 ($100,000) iliyopigwa kocha wao Pape Thiaw baada ya fainali ya AFCON 2025 dhidi ya Morocco.
Mpaka sasa, kampeni hiyo imeshakua na zaidi ya dola za Marekani $4,300 sawa na FCFA 2,400,000, Kwa shilingi za Kitanzania ni milioni 10.9
Hata hivyo Pape Thiaw amewashukuru na amewaomba michango hiyo wapewe watu wenye uhitaji.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment