Mgogoro baina ya wananchi wa Kapripoint na Kanisa la Waadventista wa Sabato iliyodudumu kwa miaka 20 ameingilia Diwani wa Kata hiyo Frank Chacha kwa kuwataka wote kwenye mgogoro huo kumaliza tofauti zao kwa makubaliano yatakayowafanya wote kuridhiana kwa undugu.
Katika mazungumzo hayo diwani aliliomba kanisa la SDA pamoja na wananchi kuvumilia ili wananchi wengi wajitokeze ili kumaliza Tatizo liliodumu Muda Mrefu.
Alisema ni dhamira ya serikali ya awamu ya sita kumaliza migogoro yote kwenye jamii ili kuwepo na maelewano yatakayowafanya wananchi kuendelea na Shughuli zao vizuri ili wajiletee maendeleo.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254

Post a Comment