
OFFICIAL
Jean Charles Ahoua (23)
amejiunga na CR Belouizdad
akitokea Simba Sc
Ahoua amesaini mkataba wa miaka miwili na nusu ya kuitumikia klabu hiyo chini ya kocha wa zamani wa Yanga, Sead Ramovic
Rasmi klabu ya Simba imetangaza kuachana na nyota wake Jean Charles Ahoua na kumtakia kila la kheri katika safari yake mpya.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment