
Klabu ya Simba SC imeiandikia rasmi Wydad Casablanca kuwa haina mpango wa kuendelea na huduma ya mshambuliaji Seleman Mwalimu, ambaye alikuwa akicheza kwa mkopo.
Simba imesema haijaridhishwa na kiwango cha mchezaji huyo, na sasa imeitaka Wydad AC kumchukua mara moja huku klabu hiyo ikielekeza nguvu kusajili mshambuliaji mwingine dirisha hili.
Seleman Mwalimu alijiunga na Simba kwa matumaini ya kuimarisha safu ya ushambuliaji, lakini safari yake imefikia tamati mapema.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment