
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Mali Tom Saintfiet anaamini timu yake inaweza kutwaa ubingwa wa AFCON bila kupata ushindi wa aina yoyote ile.
“Tunaweza kubeba ubingwa wa AFCON bila kushinda mchezo wowote.”
- Tom Saintfiet, kocha mkuu wa Mali.
Mali hadi hizi sasa;
- 1-1 vs Zambia
- 1-1 vs Morocco
- 0-0 vs Comoros
- 1-1 vs Tunisia.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment