
Jumla ya mataifa nane yamefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 inayoendelea kupigwa nchini Morocco.
Michezo ya robo fainali itaanza kuchezwa Januari 9, 2025, ambapo Mali itachuana vikali na Senegal, huku wenyeji wa mashindano hayo, Morocco, wakivaana na Cameroon.
Ratiba itaendelea Januari 10, 2025 kwa michezo miwili mingine ya robo fainali, ambapo Algeria watamenyana na Nigeria, huku Misri (Egypt) wakiwakabili mabingwa wa watetezi wa kombe hilo, Côte d’Ivoire. Washindi wa michezo hiyo watainga hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo mikubwa barani Afrika.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment