
Timu ya Taifa Tanzania, ‘Taifa Stars’ imekubali kichapo cha 1-0 dhidi Liechtenstein katika dimba la Kigali Pele, Rwanda kwenye mchezo wa Kimataifa wa kirafiki wa FIFA Series 2026.
Liechtenstein ambayo ipo nafasi ya tano kutoka mwisho (206) kwenye viwango vya FIFA imepata ushindi wake wa pili kwenye mechi zaidi ya 30 ikiwa ni ushindi wao wa 17 kwenye mechi 192 kihistoria.
FT: Tanzania 0-1
Liechtenstein
55’ Ferhat Saglam
SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment