
Timu ya Taifa ya Italia imeshindwa kufuzu kushiriki fainali za Kombe la Dunia la FIFA Kwa mara ya tatu mfulululizo (2018, 2022 na 2026) baada ya kuondoshwa kufuatia kipigo cha penalti 4-1 dhidi ya Bosnia & Herzegovina fainali ya mchujo wa mwisho.
Kwingineko Jamhuri ya Czech imeungana na Bosnia & Herzegovina kukata tiketi ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia ushindi wa penalti 3-1 dhidi ya Denmark kwenye mchujo wa mwisho.
Bosnia 1-1
Italy (P: 4-1)
79’ Tabakovic
15’ Bastoni
41’ Bastoni
FT: Czech Republic 1-1
Denmark (ET: 2-2) (P: 3-1)
SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment