
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania, Yanga SC, wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo uliopigwa leo, Aprili 4, 2026, kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam.
Mabao ya Yanga SC yalifungwa na mshambuliaji Allan Okello, Mudathir Yahya Abbas, pamoja na Pacôme Zouzoua.
SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment