" BINTI AFUNGUKA JINSI NDOTO YAKE YA KUWA MTANGAZAJI ILIVYOZIMWA NA WAZAZI, ATAMANI KUKUTANA NA MEENA ALLY

BINTI AFUNGUKA JINSI NDOTO YAKE YA KUWA MTANGAZAJI ILIVYOZIMWA NA WAZAZI, ATAMANI KUKUTANA NA MEENA ALLY

 BINTI AFUNGUKA JINSI NDOTO YAKE YA KUWA MTANGAZAJI ILIVYOZIMWA NA WAZAZI, ATAMANI KUKUTANA NA MEENA ALLY

Binti mmoja amefunguka kuwa ndoto yake tangu utotoni ilikuwa ni kuwa mtangazaji, lakini wazazi wake walimlazimisha kusomea fani nyingine tofauti na aliyoitamani. Akizungumza kuhusu safari yake, amesema licha ya kupitia changamoto hiyo, bado hajakata tamaa ya kutimiza ndoto yake ya kuwa mtangazaji siku moja. Aidha, ameeleza kuwa mtangazaji Meena Ally ndiye mfano wake wa kuigwa (role model) katika tasnia ya utangazaji, akisema amekuwa akivutiwa na namna anavyowasilisha vipindi na kujenga taaluma yake.

Post a Comment

Previous Post Next Post