" eleman Mwalimu atambulishwa Yanga SC rasmi

eleman Mwalimu atambulishwa Yanga SC rasmi

 

RASMI Agosti 11,2026 Seleman Mwalimu ametambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga SC akitokea kikosi cha Wydad Casablanca kwa mkopo.

Ikumbukwe kwamba mchezaji huyu msimu wa 2025/26 alikuwa ndani ya kikosi cha Simba SC ambapo alifunga jumla mabao 9 katika NBC Premier League.

Mwalimu anakumbukwa kuwa miongoni mwa wachezaji aliyefunga goli la ushindi kwenye mchezo wa fainali ya Muungano ilikuwa dhidi ya Yanga SC.

Taarifa rasmi iliyotolewa na Yanga SC imeeleza namna hii: “Seleman Gomez ni Mwananchi tuliwaambia anafanya mazoezi na timu ndogo, anakuja kuanza msimu na klabu kubwa,”.

Post a Comment

Previous Post Next Post