" NYUMBU MJANJA APATA NAFASI YA KUTUMBUIZA NANENANE KITAIFA

NYUMBU MJANJA APATA NAFASI YA KUTUMBUIZA NANENANE KITAIFA

Askari wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga na msanii wa Hip Hop, Nyumbu Mjanja (CPL Gabriel Kayaga), amepata nafasi ya kutumbuiza katika Maonesho ya Nanenane Kitaifa ambayo yamefanyika jijini Dodoma.

Nyumbu Mjanja, ambaye amekuwa akitumia sanaa yake kufikisha ujumbe wa elimu na uhamasishaji kwa jamii.

Post a Comment

Previous Post Next Post