Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamekubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya Police katika mchezo wa Simba Day uliopigwa leo, Agosti 8, 2026, kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Bao pekee la Kenya Police lilifungwa na Elvis Rupia dakika ya 90 ya mchezo.
Mchezo huo ulitumika maalum kwa ajili ya kuwatambulisha wachezaji wa Simba SC kwa mashabiki wao.
SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment