" KABABAA KUADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA LEO SAA MOJA USIKU UKUMBI LUBAGA INI, AWEZA WAZI JUU YA NDOTO YAKE AMTAJA Bdozen

KABABAA KUADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA LEO SAA MOJA USIKU UKUMBI LUBAGA INI, AWEZA WAZI JUU YA NDOTO YAKE AMTAJA Bdozen

 


"Naitwa Fareed Ismail mwarabu  nimezaliwa tarehe 19 mwezi wa 11/1998  ni mtoto wa pili na wa mwisho kwa wazazi wangu ni  mzawa wa Dar es salaam pia kiasili mimi ni Mzaramo".

  "Nilianza elimu yangu ya msingi mnamo mwaka 2006 katika shule ya msingi NDUGUMBI iliopo magomeni DDC wengi mnaiita Makulumla kuanzia darasa la 1 paka darasa la 5 ambapo nikapata fursa ya kuhama na hapo ndipo safari yangu ya maisha ya shinyanga ilianzia".

Nilifikia katika shule ya msingi MapinduziB hapo ndio nilimaliza elimu yangu ya msingi kisha kujiunga na Elimu ya sekondar katika shule ya secondary Ngokolo sec

"kiufupi katika maisha yangu yote ayo ndoto zangu ni kua mtu maarufu kupitia nyanja ya habari kwani ni kitu nachopenda kutoka kwenye moyo na ni ndoto yangu mtu pekee anaenifanya niipende taaluma hii ni HAMIS MANDI(Bdozen) huyu ni kioo changu kila siku kwenye harakat zangu za kukua kiutangazaji bado naendelea kuzipambania ndoto zangu paka nitakapo zifikia siku moja".


Fareed Ismail mwarabu jina maarufu Kababaa leo ni siku yake ya kuzaliwa anawakaribisha watu wote kwenye sherehe yake inafanyika kuanzia saa moja usiku leo katika ukumbi wa Lubaga ini Manispaa ya Shinyanga







Post a Comment

Previous Post Next Post