" WENYEVITI WA MITAA WAELEZEA ZOEZI LA MAHINDI YA BEI NAFUU HUKU WANANCHI WAKIISHUKURU SERIKALI

WENYEVITI WA MITAA WAELEZEA ZOEZI LA MAHINDI YA BEI NAFUU HUKU WANANCHI WAKIISHUKURU SERIKALI

 
  Mahindi hayo yametolewa na serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA ili kuwauzia wananchi kwa bei nafuu ya shilingi Mia nane hamsini (850) badala ya shilingi elfu moja mia tano (1500) bei ya sokoni. 

 Lengo la serikali ni kupunguza ukali wa maisha kwa wananchi wake unaotokana na sababu mbalimbali ikiwemo mtikisiko wa kiuchumi, na ukame uliosababishwa na mabadiliko ya tabia Nchi,

Post a Comment

Previous Post Next Post