Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro ameendelea na ziara yake kusikiliza, kupokea na kuratibu utatuzi wa kero za wananchi.
Wakili Julius Mtatiro leo April 03,2024 amesikiliza kero za wananchi katika tarafa ya Shinyanga Mjini kupitia Mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo la soko kuu, ambapo wananchi wamewasilisha kero na malalamiko mbalimbali ikiwemo migogoro ya ardhi pamoja na ubovu wa miundombinu ya Barabara.
DC Mtatiro amesema kwamba serikali Wilayani Shinyanga itahakikisha inaendelea kuhudumia wananchi kwa weledi na uandilifu.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria Mkutano huo wa hadhara wamempongeza Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro kwa kutoa nafasi ya kusikiliza kero zinazowakabili wananchi,hali wanayoitaja kuwa ni uongozi thabiti uliotukuka
Mkutano wa hadhara uliofanyika jioni, umetanguliwa na kikao cha Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga na makatibu tarafa pamoja na maafisa watendaji wa kata wa halmashauri mbili za wilaya hiyo,kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Shinyanga,wa Lewis kalinjuna ambapo pamoja na kuwapongeza lakini amewataka kuendelea kuwahudumia wananchi kwa weledi na uadilifu huku akisisitiza zaidi uwajibikaji.Mkuu wa Wilaya ya
Shinyanga Wakili Julius Mtatiro akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara na
wananchi wa Wilaya hiyo ambao umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo
viongozi wa chama cha mapinduzi CCM Wilaya ya Shinyanga.
Mkuu wa Wilaya ya
Shinyanga Wakili Julius Mtatiro akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara na
wananchi wa Wilaya hiyo ambao umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo
viongozi wa chama cha mapinduzi CCM Wilaya ya Shinyanga.
Mkazi wa Wilaya ya
Shinyanga akieleza kero yake kwa mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius
Mtatiro.
Mkazi wa Wilaya ya
Shinyanga akieleza kero yake kwa mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius
Mtatiro.
Mkazi wa Wilaya ya
Shinyanga akieleza kero yake kwa mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius
Mtatiro.
Mkazi wa Wilaya ya
Shinyanga akieleza kero yake kwa mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius
Mtatiro.
Mkazi wa Wilaya ya
Shinyanga akieleza kero yake kwa mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius
Mtatiro.
Mkazi wa Wilaya ya
Shinyanga akieleza kero yake kwa mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius
Mtatiro.
Mkazi wa Wilaya ya
Shinyanga akieleza kero yake kwa mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius
Mtatiro.
Mkazi wa Wilaya ya
Shinyanga akieleza kero yake kwa mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius
Mtatiro.
Mkazi wa Wilaya ya
Shinyanga akieleza kero yake kwa mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius
Mtatiro.
Mkazi wa Wilaya ya
Shinyanga akieleza kero yake kwa mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius
Mtatiro.
Mkutano wa hadhara
ulioandaliwa na mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro ukiendelea ikiwa
lengo ni kusikiliza, kupokea na kutatua kero za wananchi.
Mkutano wa hadhara
ulioandaliwa na mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro ukiendelea ikiwa
lengo ni kusikiliza, kupokea na kutatua kero za wananchi.
Post a Comment