" GOLD FM YATANGAZA NAFASI MBILI ZA AJIRA KWA WANAWAKE WENYE UZOEFU KATIKA UANDISHI NA UTANGAZAJI

GOLD FM YATANGAZA NAFASI MBILI ZA AJIRA KWA WANAWAKE WENYE UZOEFU KATIKA UANDISHI NA UTANGAZAJI

 ðŸŸ£ NAFASI ZA KAZI | WANAWAKE TU!

Gold FM inawakaribisha wanawake wenye kipaji kujiunga na timu yao kama Watangazaji wa Vipindi
📻 Nafasi zipo mbili tu (2) — usikose

🔻 SIFA ZA MUOMBAJI:
✅ Awe Mtanzania
✅ Awe na Diploma au zaidi kwenye Uandishi wa Habari / Utangazaji
✅ Umri usiozidi miaka 35
✅ Uzoefu wa kazi ya utangazaji kwa angalau miaka miwili
✅ Uwezo wa kuandaa na kuendesha vipindi vya:

  • Kijamii

  • Siasa

  • Utawala Bora

📩 Tuma Maombi Yako:
Andika barua ya maombi, ambatanisha CV, vyeti na DEMO yako kisha tuma kupitia:
📧 info@goldfm.co.tz

🕒 Mwisho wa kutuma maombi: Mei 10, 2025

📞 Kwa maelezo zaidi: +255 762 675 500

Post a Comment

Previous Post Next Post