" Orodha ya Nchi 71 Zisizohitaji Visa Kuingia Tanzania

Orodha ya Nchi 71 Zisizohitaji Visa Kuingia Tanzania

 

Orodha ya Nchi 71 Zisizohitaji Visa Kuingia Tanzania

Serikali imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo Raia wa Nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini.

Kwa sasa Watalii kutoka Mataifa mengi zaidi duniani wanaruhusiwa kupata visa wanapowasili (visa on arrival) kwenye viwanja vya ndege vya kimataifa kama Julius Nyerere (Dar es salaam), Kilimanjaro na Zanzibar.

Watalii wamiliki wa pasipoti wasiohitaji kuomba visa kuingia Tanzania (Visa on Arrival)

  1. Antigua & Barbuda
  2. Anguilla
  3. Ashmore & Certie Island
  4. Bahamas
  5. Barbados
  6. Bermuda
  7. Belize
  8. Brunei
  9. British Virgin Island
  10. British Indian Ocean Territory
  11. Botswana
  12. Burundi
  13. Cyprus
  14. Cayman Island
  15. Channel Island
  16. Cocoas Island
  17. Cook Island
  18. Christmas Island
  19. Democratic Republic of Congo (DRC)
  20. Dominica (Commonwealth of Dominica)
  21. Falkland Island
  22. Gambia
  23. Ghana
  24. Gibraltar
  25. Grenada
  26. Guernsey
  27. Guyana
  28. Heard Island
  29. Hong Kong, China
  30. Isle of man
  31. Jamaica
  32. Jersey
  33. Kenya
  34. Kiribati
  35. Lesotho
  36. Malawi
  37. Montserrat
  38. Malaysia
  39. Madagascar
  40. Malta
  41. Mauritius
  42. Macao, China
  43. Mozambique
  44. Nauru
  45. Naue Island
  46. Norfolk Island
  47. Namibia
  48. Papua new Guinea
  49. Rwanda
  50. Romania
  51. Ross Dependency
  52. Samoa
  53. Seychelles
  54. Singapore
  55. Swaziland
  56. Solomon Island
  57. South African Republic
  58. South Sudan
  59. St. Kitts&Navis
  60. St. Lucia
  61. St. Vicent
  62. St. Helana
  63. Trinidad & Tobago
  64. Turks & Caicos
  65. Tokelan
  66. Tonga
  67. Tuvalu
  68. Vanuatu
  69. Uganda
  70. Zambia
  71. Zimbabwe

Serikali imeendelea kuboresha utaratibu wa utoaji wa viza nchini ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia duniani ambapo Serikali kupitia Idara ya Uhamiaji imeanzisha mfumo wa maombi ya viza kwa njia ya mtandao (e-Visa) unaowawezesha watalii kuomba viza popote walipo duniani bila kulazimika kufika ubalozini.

Post a Comment

Previous Post Next Post