Orodha ya Nchi 71 Zisizohitaji Visa Kuingia Tanzania
Serikali imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo Raia wa Nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini.
Kwa sasa Watalii kutoka Mataifa mengi zaidi duniani wanaruhusiwa kupata visa wanapowasili (visa on arrival) kwenye viwanja vya ndege vya kimataifa kama Julius Nyerere (Dar es salaam), Kilimanjaro na Zanzibar.
Watalii wamiliki wa pasipoti wasiohitaji kuomba visa kuingia Tanzania (Visa on Arrival)
- Antigua & Barbuda
- Anguilla
- Ashmore & Certie Island
- Bahamas
- Barbados
- Bermuda
- Belize
- Brunei
- British Virgin Island
- British Indian Ocean Territory
- Botswana
- Burundi
- Cyprus
- Cayman Island
- Channel Island
- Cocoas Island
- Cook Island
- Christmas Island
- Democratic Republic of Congo (DRC)
- Dominica (Commonwealth of Dominica)
- Falkland Island
- Gambia
- Ghana
- Gibraltar
- Grenada
- Guernsey
- Guyana
- Heard Island
- Hong Kong, China
- Isle of man
- Jamaica
- Jersey
- Kenya
- Kiribati
- Lesotho
- Malawi
- Montserrat
- Malaysia
- Madagascar
- Malta
- Mauritius
- Macao, China
- Mozambique
- Nauru
- Naue Island
- Norfolk Island
- Namibia
- Papua new Guinea
- Rwanda
- Romania
- Ross Dependency
- Samoa
- Seychelles
- Singapore
- Swaziland
- Solomon Island
- South African Republic
- South Sudan
- St. Kitts&Navis
- St. Lucia
- St. Vicent
- St. Helana
- Trinidad & Tobago
- Turks & Caicos
- Tokelan
- Tonga
- Tuvalu
- Vanuatu
- Uganda
- Zambia
- Zimbabwe
Serikali imeendelea kuboresha utaratibu wa utoaji wa viza nchini ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia duniani ambapo Serikali kupitia Idara ya Uhamiaji imeanzisha mfumo wa maombi ya viza kwa njia ya mtandao (e-Visa) unaowawezesha watalii kuomba viza popote walipo duniani bila kulazimika kufika ubalozini.
Post a Comment