Na Tonny Alphonce, Msalaba Media
Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo na Mazingira (EMEDO), Editrudith Lukanga, ameweka wazi umuhimu wa haki ya chakula kwa kila mtu, akisisitiza umuhimu wa kuzingatia jamii zenye ufanisi mdogo, hususan wanawake katika sekta ya uvuvi. Kauli hii ameitoa wakati akihojiwa na Idara ya Haki ya Chakula ya UN-FAO.
Bi. Lukanga amefafanua kuwa kwake, haki ya chakula inamaanisha kuhakikisha kwamba kila mmoja, na hasa jamii nzima inapata chakula cha kutosha, chenye afya na lishe bora, na kwamba upatikanaji huu uwe endelevu na thabiti.
"Sio tu kwamba chakula kinapatikana, bali pia ni suala la usawa, Wanawake ambao ni uti wa mgongo wa jamii hizi wanahitaji kutambuliwa na kuungwa mkono ili waweze kuendelea kutoa mahitaji kwa familia zao na jamii kwa ujumla."alisema Editrudith
Akizungumzia utekelezaji hatua kwa hatua wa haki ya chakula, Mkurugenzi huyo wa EMEDO alieleza kuwa shirika lake linafanya kazi bila kuchoka kuboresha upatikanaji wa chakula kwa wote, hasa makundi yaliyo hatarini kama wanawake wanaojishughulisha na uvuvi mdogo.
Hii inajumuisha kuboresha mbinu endelevu za uvuvi, kuwaunga mkono wanawake kujipanga, kuongeza upatikanaji wao wa rasilimali za uzalishaji, teknolojia, taarifa za masoko, huduma za kisheria na fedha, Muhimu zaidi, Bi. Lukanga alisisitiza umuhimu wa kuhakikisha wanawake wanashiriki kikamilifu katika michakato ya kufanya maamuzi.
Akizungumzia nafasi za mashirika yasiyo ya kiserikali Editrudith amesema shrike la EMEDO Linatambua nafasi muhimu ya Mashirika ya Kiraia (CSOs) katika kuhakikisha haki ya chakula inakuwa ukweli. "Mashirika ya Kiraia ni vuguvugu la kijamii ambalo lina jukumu muhimu," alisema Bi. Lukanga. "Wanatetea haki za wanawake katika uvuvi mdogo, wanasukuma sera zinazojumuisha kila mtu, na kukuza mazoea endelevu yanayosaidia kuhakikisha chakula kwa ajili ya siku zijazo inakuwepo."
Kauli za Editrudith Lukanga zinaonyesha azma ya EMEDO na wadau wengine kuhakikisha kuwa haki ya chakula si dhana tu, bali ni ukweli halisi unaoboresha maisha ya jamii, hususan wanawake na wale walio hatarini zaidi.
wemo vijana, wanawake na wasanii wamejitokeza na hiyo inaonyesha CCM ina hazina kubwa lazima ilindwe kwa kutenda haki katika mchakato huo.
"Takwimu za haraka waliochukua fomu kwa majimbo Tanzania Bara wako 3,585 na Zanzibar katika majimbo wako 524, jumla katika majimbo tu wanachama walionyesha nia wako 4,109 na tuna majimbo 272 unaweza kuona ni namna gani hamasa ilivyokuwa kubwa," amesema Makalla.
Amesema upande wa uwakilishi Zanzibar waliochukua fomu za kutia nia wako wanachama 503 wakati Umoja wa Wanawake (UWT) wako 623 Tanzania Bara na ndani yake wako 61 wa makundi maalumu lakini Zanzibar wamechukua wanane.
"Viti Maalumu uwakilishi kule Zanzibar wako tisa kwa hiyo jumla ya UWT waliojitokeza wako 640 lakini umoja wa vijana wamechukua 161 na Zanzibar wako saba lakini Jumuiya ya Wazazi wako Tanzania Bara 55 na Zanzibar pamoja na uwakilishi jumla wapo 575," amesema.
Makalla amesema katika ubunge na uwakilishi jumla ni 5,475. Kwa kuwa fomu za ubunge zilikuwa zinatolewa kwa Sh500,000, hii ina maanisha kwa idadi ya waliochukua 5,475 chama hicho tawala kimejikusanyia zaidi ya Sh2.7 bilioni.
Amesema upande wa ngazi ya udiwani kuna takribani kata 3,960 bado haijafanya majumuisho na wanatarajia kuwa na watia nia zaidi ya 15,000 nchi nzima katika nafasi hiyo, inayojumuisha madiwani na wale wa viti maalumu.
Gharama za fomu za udiwani ni Sh50,000. Hii ina maanisha kama ni 15,000 watakuwa wamejitosa basi itakuwa imejikusanywa Sh750 miloni.
Aidha Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa maagizo kwa kamati za siasa za chama hicho kutenda haki na wasionee watu katika vikao vya mchakato wa mchujo kwa watia nia waliomba kugombea udiwani na ubunge ili kupunguza malalamiko na manung’uniko.
Msingi wa maagizo hayo ni idadi kubwa ya waliojitokeza, ambayo imevunja rekodi, na hamasa ilikuwa kubwa. Hivyo, wajumbe wanaotembea na orodha zao mifukoni wanapaswa kuziweka kando kwa maslahi mapana ya chama hicho.
Leo Alhamisi, Julai 3, 2025, katika ofisi ndogo za CCM jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa chama hicho, Amos Makalla akizungumza na waandishi wa habari amesema makundi mbalimbali, ikiwemo vijana, wanawake na wasanii wamejitokeza, na hiyo inaonyesha CCM ina hazina kubwa ambayo lazima ilindwe kwa kutenda haki katika mchakato huo.
“Takwimu za haraka waliochukua fomu kwa majimbo Tanzania Bara wako 3,585 na Zanzibar wako 524, jumla ya wanachama walioweka nia katika majimbo ni 4,109, na tuna majimbo 272. Unaweza kuona namna hamasa ilivyokuwa kubwa,” amesema Makalla.
Amesema upande wa uwakilishi Zanzibar waliochukua fomu za kutia nia ni wanachama 503, wakati Umoja wa Wanawake (UWT) wako 623 Tanzania Bara na ndani yake wapo 61 kutoka makundi maalumu, lakini Zanzibar wamejitokeza wanane.
“Viti Maalumuu vya uwakilishi kule Zanzibar wako tisa, kwa hiyo jumla ya UWT waliojitokeza ni 640. Umoja wa Vijana wamechukua 161 na Zanzibar wako saba. Jumuiya ya Wazazi Tanzania Bara wako 55, na Zanzibar pamoja na uwakilishi jumla ni 575,” amesema.
Makalla amesema kwa upande wa ubunge na uwakilishi, jumla ni 5,475. Kwa kuwa fomu za ubunge zilikuwa zinatolewa kwa Sh500,000, hii ina maana chama hicho kimekusanya zaidi ya Sh2.7 bilioni.
Kwa ngazi ya udiwani, amesema takribani kuna kata 3,960 bado hazijafanya majumuisho, lakini wanatarajia kuwa na watia nia zaidi ya 15,000 nchi nzima. Gharama za fomu za udiwani ni Sh50,000, hivyo kama idadi hiyo itafikiwa, chama kitapata Sh750 milioni.
Makalla amesema baada ya kukamilika kwa shughuli ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu, kuanzia kesho Ijumaa vikao vya uchambuzi vitaanza kuanzia ngazi ya kata, ambapo kamati za siasa zitaanza kutoa mapendekezo kwa waliotaka kugombea udiwani na viti maalumu.
“Kamati za siasa za mkoa kwa ratiba ya chama zitaanza kukaa Julai 9, 2025 kuanza kufanya uteuzi wa mwisho kwa wanaoomba nafasi za udiwani, lakini uwakilishi na ubunge uteuzi wa mwisho utafanywa na Kamati Kuu kuanzia Julai 19, 2025.
“Katika uteuzi huo tutapata wagombea watatu, na kwa namna wanawake walivyotokeza, tutazingatia jinsia,” amesema.
Makalla amesema mchakato wa mwisho kwa waliotaka udiwani utafanywa na ngazi ya mkoa, lakini kwa uwakilishi na ubunge, Kamati Kuu ya chama itafanya uteuzi huo.
“Wakati wa shughuli hii kamati za siasa zitende haki, mgombea apatikane kwa kuzingatia sifa na uwezo. Wale wenye orodha waziweke kando ili kupunguza minong’ono,” amesema.
Makalla amesema ni muhimu vikao vyote vya mchujo na uteuzi vitende haki kwa makada wote na wasionewe kwa fitina au majungu.
“Tukatende haki, tuteue watu kwa haki na tusionee mtu. Tunapokwenda kwenye uchaguzi tuna mengi ya kusema ikiwemo ilani, lakini yote yatanogeshwa tukiwa na wagombea wazuri,” amesema.
wemo vijana, wanawake na wasanii wamejitokeza na hiyo inaonyesha CCM ina hazina kubwa lazima ilindwe kwa kutenda haki katika mchakato huo.
"Takwimu za haraka waliochukua fomu kwa majimbo Tanzania Bara wako 3,585 na Zanzibar katika majimbo wako 524, jumla katika majimbo tu wanachama walionyesha nia wako 4,109 na tuna majimbo 272 unaweza kuona ni namna gani hamasa ilivyokuwa kubwa," amesema Makalla.
Amesema upande wa uwakilishi Zanzibar waliochukua fomu za kutia nia wako wanachama 503 wakati Umoja wa Wanawake (UWT) wako 623 Tanzania Bara na ndani yake wako 61 wa makundi maalumu lakini Zanzibar wamechukua wanane.
"Viti Maalumu uwakilishi kule Zanzibar wako tisa kwa hiyo jumla ya UWT waliojitokeza wako 640 lakini umoja wa vijana wamechukua 161 na Zanzibar wako saba lakini Jumuiya ya Wazazi wako Tanzania Bara 55 na Zanzibar pamoja na uwakilishi jumla wapo 575," amesema.
Makalla amesema katika ubunge na uwakilishi jumla ni 5,475. Kwa kuwa fomu za ubunge zilikuwa zinatolewa kwa Sh500,000, hii ina maanisha kwa idadi ya waliochukua 5,475 chama hicho tawala kimejikusanyia zaidi ya Sh2.7 bilioni.
Amesema upande wa ngazi ya udiwani kuna takribani kata 3,960 bado haijafanya majumuisho na wanatarajia kuwa na watia nia zaidi ya 15,000 nchi nzima katika nafasi hiyo, inayojumuisha madiwani na wale wa viti maalumu.
Gharama za fomu za udiwani ni Sh50,000. Hii ina maanisha kama ni 15,000 watakuwa wamejitosa basi itakuwa imejikusanywa Sh750 miloni.
Aidha Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa maagizo kwa kamati za siasa za chama hicho kutenda haki na wasionee watu katika vikao vya mchakato wa mchujo kwa watia nia waliomba kugombea udiwani na ubunge ili kupunguza malalamiko na manung’uniko.
Msingi wa maagizo hayo ni idadi kubwa ya waliojitokeza, ambayo imevunja rekodi, na hamasa ilikuwa kubwa. Hivyo, wajumbe wanaotembea na orodha zao mifukoni wanapaswa kuziweka kando kwa maslahi mapana ya chama hicho.
Leo Alhamisi, Julai 3, 2025, katika ofisi ndogo za CCM jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa chama hicho, Amos Makalla akizungumza na waandishi wa habari amesema makundi mbalimbali, ikiwemo vijana, wanawake na wasanii wamejitokeza, na hiyo inaonyesha CCM ina hazina kubwa ambayo lazima ilindwe kwa kutenda haki katika mchakato huo.
“Takwimu za haraka waliochukua fomu kwa majimbo Tanzania Bara wako 3,585 na Zanzibar wako 524, jumla ya wanachama walioweka nia katika majimbo ni 4,109, na tuna majimbo 272. Unaweza kuona namna hamasa ilivyokuwa kubwa,” amesema Makalla.
Amesema upande wa uwakilishi Zanzibar waliochukua fomu za kutia nia ni wanachama 503, wakati Umoja wa Wanawake (UWT) wako 623 Tanzania Bara na ndani yake wapo 61 kutoka makundi maalumu, lakini Zanzibar wamejitokeza wanane.
“Viti Maalumuu vya uwakilishi kule Zanzibar wako tisa, kwa hiyo jumla ya UWT waliojitokeza ni 640. Umoja wa Vijana wamechukua 161 na Zanzibar wako saba. Jumuiya ya Wazazi Tanzania Bara wako 55, na Zanzibar pamoja na uwakilishi jumla ni 575,” amesema.
Makalla amesema kwa upande wa ubunge na uwakilishi, jumla ni 5,475. Kwa kuwa fomu za ubunge zilikuwa zinatolewa kwa Sh500,000, hii ina maana chama hicho kimekusanya zaidi ya Sh2.7 bilioni.
Kwa ngazi ya udiwani, amesema takribani kuna kata 3,960 bado hazijafanya majumuisho, lakini wanatarajia kuwa na watia nia zaidi ya 15,000 nchi nzima. Gharama za fomu za udiwani ni Sh50,000, hivyo kama idadi hiyo itafikiwa, chama kitapata Sh750 milioni.
Makalla amesema baada ya kukamilika kwa shughuli ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu, kuanzia kesho Ijumaa vikao vya uchambuzi vitaanza kuanzia ngazi ya kata, ambapo kamati za siasa zitaanza kutoa mapendekezo kwa waliotaka kugombea udiwani na viti maalumu.
“Kamati za siasa za mkoa kwa ratiba ya chama zitaanza kukaa Julai 9, 2025 kuanza kufanya uteuzi wa mwisho kwa wanaoomba nafasi za udiwani, lakini uwakilishi na ubunge uteuzi wa mwisho utafanywa na Kamati Kuu kuanzia Julai 19, 2025.
“Katika uteuzi huo tutapata wagombea watatu, na kwa namna wanawake walivyotokeza, tutazingatia jinsia,” amesema.
Makalla amesema mchakato wa mwisho kwa waliotaka udiwani utafanywa na ngazi ya mkoa, lakini kwa uwakilishi na ubunge, Kamati Kuu ya chama itafanya uteuzi huo.
“Wakati wa shughuli hii kamati za siasa zitende haki, mgombea apatikane kwa kuzingatia sifa na uwezo. Wale wenye orodha waziweke kando ili kupunguza minong’ono,” amesema.
Makalla amesema ni muhimu vikao vyote vya mchujo na uteuzi vitende haki kwa makada wote na wasionewe kwa fitina au majungu.
“Tukatende haki, tuteue watu kwa haki na tusionee mtu. Tunapokwenda kwenye uchaguzi tuna mengi ya kusema ikiwemo ilani, lakini yote yatanogeshwa tukiwa na wagombea wazuri,” amesema.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Post a Comment