" JIUNGE NA CHUO CHA MADINI SHINYANGA – FURSA YA KIPEKEE KWA WANAOTAKA KUA MABINGWA WA MADINI, MAFUTA NA GESI

JIUNGE NA CHUO CHA MADINI SHINYANGA – FURSA YA KIPEKEE KWA WANAOTAKA KUA MABINGWA WA MADINI, MAFUTA NA GESI

🟢 JIUNGE NA CHUO CHA MADINI SHINYANGA – FURSA YA KIPEKEE KWA WANAOTAKA KUA MABINGWA WA MADINI, MAFUTA NA GESI

Chuo cha Madini Shinyanga (Earth Sciences Institute of Shinyanga - ESIS) kinapokea maombi ya kujiunga kwa ngazi ya Cheti na Diploma kwa mwaka wa masomo 2025/2026.

Ikiwa unatafuta elimu bora, mazingira rafiki ya kujifunzia, na maarifa ya kitaalamu katika sekta ya madini na mafuta – basi ESIS ni mahali sahihi kwako.


🎓 KOZI ZINAZOTOLEWA:

Utafutaji na Uchimbaji wa Madini (Exploration and Mining Geology)
Jiolojia ya Mafuta na Gesi (Petroleum Geology)
Kozi za Muda Mfupi (Tailor-made Short Courses)


💸 MIKOPO YA SERIKALI (HESLB) INAPATIKANA

Wanafunzi wenye sifa za kupata mkopo kupitia Bodi ya Mikopo ya Serikali (HESLB) wanahimizwa kuomba. Tunawasaidia kwa ukaribu katika mchakato wa maombi!


📍 FAIDA ZA KUSOMA ESIS:

✔ Mazingira rafiki ya kujifunzia
✔ Mafunzo kwa nadharia na vitendo (field & lab)
✔ Vifaa vya kisasa na walimu waliobobea
✔ Ushirikiano na taasisi za sekta ya madini
✔ Nafasi za ajira na kujiajiri ni kubwa


📝 TUMA MAOMBI SASA

👉 Kupitia tovuti: 🌐 www.esis.ac.tz
👉 Kwa msaada wa karibu, piga simu:

📞 +255 765 434 604
📞 +255 766 405 653
📞 +255 687 434 617


🌟 “Chuo cha Madini Shinyanga – Quality is Our First Priority”

Post a Comment

Previous Post Next Post