" Nilipigwa Character Development, Lakini Maombi Maalum Yalinipa Mpenzi wa Kudumu

Nilipigwa Character Development, Lakini Maombi Maalum Yalinipa Mpenzi wa Kudumu




Kuna wakati katika maisha yangu nilihisi kama mapenzi yalikuwa laana tu juu yangu. Kila mara nikipenda, nateseka. Nikiwa chuoni nilikuwa na mpenzi ambaye nilimchukulia kama mchumba wangu wa baadaye. Nilimheshimu, nilimpenda, na nilimjengea ndoto za maisha mazuri pamoja.


Lakini baada ya miaka miwili ya mahusiano ya dhati, siku moja alipokea kazi nje ya jiji. Nilimpa baraka zangu zote. Ndani ya wiki mbili alinitumia ujumbe mfupi tu: “Nadhani huu ndio wakati wa kila mtu aendelee na maisha yake.”

Nilifunga macho, nikavua pete niliyojizoea kuvaa, nikajua safari yetu imefika mwisho mara moja, bila huruma, bila hata majadiliano. Nililia. Nilihisi kutotosha. Character development hiyo iliniuma kuliko mitihani yoyote niliyowahi kufanya chuoni.

Na kama haitoshi, mwezi mmoja baadaye niliona picha zake akiwa na mwanaume mwingine kwenye Instagram, wakiwa kwenye hoteli ya kifahari. Caption ilikuwa: “With my peace .”

Nilijiambia sitapenda tena. Nilianza kuwa mtu wa hasira, niliwachukia wanaume wote. Hata wale walionitakia mema, nilikuwa nawahisi kama wana nia ya kuniumiza pia. Nilikuwa mtu wa kufanya kazi, kurudi nyumbani, na kulia kitandani usiku. Moyo wangu ulikufa.



Mpaka siku moja, nikiwa saluni, mwanamke mmoja mwenye tabasamu la furaha alitujulisha stori ya jinsi alivyopitia uchungu kama wangu na kisha akaweka wazi kuwa yeye alipata mpenzi wa kweli kwa msaada wa kiroho kutoka kwa Kiwanga Doctors.

Sikuficha shauku. Nilimuuliza kila kitu. Akanipa namba yao: +255 763 926 750. Nilisita kwa siku mbili, lakini moyo wangu ulinisukuma kujaribu. Niliwasiliana nao nikieleza kila kitu kwa urefu uchungu, ndoto zilizoanguka, na hofu yangu ya kupenda tena.

Hawakunicheka. Walinisikiliza kwa heshima, wakanipa maelekezo ya kufanya maombi maalum kwa siku tatu usiku, wakaniandalia dawa ya mvuto wa kimapenzi na ya kuondoa alama za mateso ya kiroho.

Nilifuata kila agizo kwa nidhamu. Niliamka saa kumi na moja usiku nikiomba. Nilioga kwa maji ya mti wa mkwaju kama walivyoelekeza. Nilipaka dawa yangu ya mvuto na niliamua kuachilia kila maumivu.

Wiki moja baadaye nilialikwa kwenye event ya vijana wanaojihusisha na kazi za kijamii. Nilikutana na kijana mmoja wa kawaida, lakini wa heshima. Tulianza mazungumzo rahisi.



Aliomba namba yangu, na siku iliyofuata alinitumia ujumbe mfupi wenye heshima na mpangilio: “Nimefurahi kukuona jana. Ningependa kujua zaidi kuhusu wewe.” Nilihisi tofauti.

Hatukuwa na mbwembwe. Tulianza polepole. Alinipa nafasi ya kuzungumza, kunielewa, na kunifariji hata bila kujua kilichoniumiza. Ndani ya miezi miwili, tulikuwa marafiki wa dhati. Miezi sita baadaye, alinijulisha kwa familia yake. Sasa ni mwaka mmoja tangu tufahamiane, na tunapanga ndoa. Amani yake ni kama tiba.

Najua bila msaada wa Kiwanga Doctors, ningebaki kwenye huzuni. Sio kwamba nisingekutana naye bali nisingekuwa na nafasi ya kupenda tena. Wao waliniponya kwanza ndani, ndipo walipofungua njia yangu ya kupokea mapenzi mapya.

Kama umeumia kwenye mapenzi, kama umepigwa character development hadi unaogopa kupenda tena usikate tamaa. Bahati ipo, lakini wakati mwingine inahitaji kusaidiwa kuonekana. Mimi ni ushuhuda hai.

Aliyenisaidia: Kiwanga Doctors
Simu: +255 763 926 750

SOMA ZAIDI

Post a Comment

Previous Post Next Post