" JIUNGE LEO UJENGE MUSTAKABALI WAKO NA ESIS – CHUO CHA MADINI SHINYANGA

JIUNGE LEO UJENGE MUSTAKABALI WAKO NA ESIS – CHUO CHA MADINI SHINYANGA

CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS) kinapokea wanafunzi kwa ajili ya udahili wa ngazi ya Cheti na Diploma katika kozi zifuatazo:
Petroleum Geology (Jiolojia ya Mafuta na Gesi)
Exploration and Mining Geology (Utafutaji na Uchimbaji Madini)

🟨 Tailor Made Short Courses, (Kozi Maalum za Muda Mfupi kwa mahitaji ya wadau wa sekta ya madini na mafuta).

🌍 Madini na gesi ni sekta zenye fursa kubwa za ajira na biashara. Hii ndiyo nafasi yako ya kuanza safari ya kitaaluma na kujiandaa kwa maisha bora yenye mafanikio.

🎓 Faida za kusoma ESIS
✔ Elimu ya vitendo (Practical Oriented Learning)
✔ Mikopo ya serikali kwa wanafunzi wenye sifa
✔ Walimu wenye uzoefu mkubwa wa kitaaluma na kiutendaji
✔ Ushirikiano na sekta ya madini na mafuta

👉 Usikose fursa hii! Udahili unaendelea.
Jiunge leo na ujenge mustakabali wako na ESIS – Chuo cha Madini Shinyanga.

📲 Apply Now: www.esis.ac.tz
📞 Help Desk: +255 765 434 604 | +255 687 434 617

GUSA LINK HAPA CHINI👇


Post a Comment

Previous Post Next Post