" NAFASI ZA MASOMO ZIMEFUNGULIWA! – JIUNGE LEO NA CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS)

NAFASI ZA MASOMO ZIMEFUNGULIWA! – JIUNGE LEO NA CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS)


📢 NAFASI ZA MASOMO ZIMEFUNGULIWA! – JIUNGE LEO NA CHUO CHA MADINI SHINYANGA (ESIS) 

🌍 Earth Sciences Institute of Shinyanga

🎓 NAFASI ZA MASOMO ZIMEFUNGULIWA!

👉 Jiunge sasa kwa ngazi ya CHETI na DIPLOMA katika fani zenye uhitaji mkubwa sokoni:

✅ Exploration and Mining Geology (Utafutaji na Uchimbaji Madini)
✅ Petroleum Geology (Jiolojia ya Mafuta na Gesi)

✅ Kozi za Muda Mfupi (Tailor Made Short Courses)

🔑 Sifa za kujiunga:

  • Cheti (Certificate): Kidato cha Nne (CSEE) mwenye angalau ufaulu wa masomo 4.

  • Diploma: Kidato cha Nne chenye ufaulu wa masomo 4 au NTA level 4 inayohusiana.

📌 Usikose nafasi ya kujipatia taaluma yenye uhakika wa ajira kwenye sekta ya madini na mafuta!

🌐 Tuma maombi sasa:
👉 www.esis.ac.tz
📧 info@esis.ac.tz

📞 Mawasiliano:
+255 765 434 604
+255 687 434 617

✨ CHUO CHA MADINI SHINYANGA – ELIMU BORA, MUSTAKABALI WENYE UHIMILIVU!

Post a Comment

Previous Post Next Post