Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wazee wa mkoa wa Dodoma na wawakilishi wa wazee kutoka kote nchini, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 27 Agosti, 2025.
Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Wazee Taifa, Mzee David Lameck Sendo akizungumza kwa niaba ya wazee wote wakati wa mkutano na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 27 Agosti, 2025.
Post a Comment