
Mechi za hatua ya Makundi AFCON 2025 kwa upande wa Tanzania zitachezwa ndani ya siku 7 [ Dec 23 – Dec 30]
Jumanne Dec 23
Nigeria v Tanzania
Uwanja , Stade de Fes uliopo katika Mji wa Fes/Fez na unaingizaa mashabiki 45,000 walioketi
Jumanne Dec 30
Tanzania v Tunisia
Uwanja , Prince Moulay Abdellah upo Jijini Rabat na unabeba mashabiki 65,000 walioketi
Jumamosi Dec 27
Uganda v Tanzania
Uwanja ,Al Medina jina lingine Al Barid uwanja upo Jiji la Rabat na unabeba mashabiki 18,000 walioketi
Note : Bado siku 6 mashindano yaanze
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment