" Mechi za hatua ya Makundi AFCON 2025 kwa upande wa Tanzania zitachezwa Katika Viwanja Hivi Vitatu

Mechi za hatua ya Makundi AFCON 2025 kwa upande wa Tanzania zitachezwa Katika Viwanja Hivi Vitatu

 

Mechi za hatua ya Makundi AFCON 2025 kwa upande wa Tanzania zitachezwa ndani ya siku 7 [ Dec 23 – Dec 30]

◾️Jumanne Dec 23
Nigeria 🇳🇬 v Tanzania 🇹🇿
Uwanja , Stade de Fes uliopo katika Mji wa Fes/Fez na unaingizaa mashabiki 45,000 walioketi

◾️Jumanne Dec 30
Tanzania 🇹🇿 v Tunisia 🇹🇳
Uwanja , Prince Moulay Abdellah upo Jijini Rabat na unabeba mashabiki 65,000 walioketi

◾️Jumamosi Dec 27
Uganda 🇺🇬 v Tanzania 🇹🇿
Uwanja ,Al Medina jina lingine Al Barid uwanja upo Jiji la Rabat na unabeba mashabiki 18,000 walioketi

Note : Bado siku 6 mashindano yaanze

🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA

Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254

Post a Comment

Previous Post Next Post