" LEO NI LEO – KARIBU KATIKA USIKU WA SIFA, IBADA NA SHUKURANI AIC KAMBARAGE

LEO NI LEO – KARIBU KATIKA USIKU WA SIFA, IBADA NA SHUKURANI AIC KAMBARAGE

 Leo ndiyo siku iliyosubiriwa kwa hamu—TAMASHA LA USIKU WA SHUKURANI!
Kwa moyo wa furaha na shukrani, AIC Kambarage Choir inawakaribisha watu wote kuungana nasi usiku wa sifa, ibada, maombi na shukrani za dhati kwa Mungu kwa yote aliyotutendea.

Njoo tushuhudie BARAKA TELE, tukimrudishia Bwana utukufu na kupokea yale aliyotutayarishia.
Hakuna kiingilio — wote mnakaribishwa!

📍 AIC Kambarage Church – Shinyanga
 Kuanzia saa 1:00 usiku hadi asubuhi

Karibu sana, usikose! 🙌🔥


 

Post a Comment

Previous Post Next Post