
shirikisho la soka nchini Senegal limepigwa f faini ya dola 300,000 [TSh. Milioni 76O ] kwa utovu wa nidhamu uliofanywa na mashabiki
Hapo hapo kuna Dola 300,000 nyingine pia [Tsh 760 Milioni ] kwa tabia ya utovu wa nidhamu kwa wachezaji wake na wafanyakazi wa benchi la ufundi.
Wametozwa pia faini ya Dola 15,000 ambayo inafanya jumla iwe Dola 615 ,000 sawa na [ Tsh Bilioni 1.5]
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment