
Klabu ya Yanga imefanikiwa kunasa saini ya Nyota wa timu ya Taifa ya Uganda Allan Okello na kumtambulisha rasmi kama mchezaji wao akitokea timu ya Vipers ya Uganda.
Star boy Okello anakuja kuongeza nguvu katika nafasi ya Kiungo mshambuliaji ndani ya klabu hiyo.
Winga pacome Winga Okello Teka Depu
Je unaipa asilimia Ngapi Yanga baada ya kumpata Okello ??
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment