Na Mwandishi wetu, Misalaba Media
Kuelekea uzinduzi wa WAILES SUPER CUP Mrisho Ngasa, mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na vilabu vikubwa vya Yanga, Simba na Azam FC na kampuni ya Wailes company kwa pamoja wamemeshiriki zoezi la upandaji wa Miti katika shule ya msingi mapera
Akizungumza mkurugenzi wa wailes company limited Ndugu Frank Ndunguru amesema lengo kuunga mkono sera ya Mhe.Rais samia ya upandaji miti kuhakikisha misitu inaimarika,ardhi inakua bora na kuwa miti ndo maisha yetu
Kwa upande wake Mrisho Ngasa ameweza kutoa shukrani kwa mapokezi katika shule hiyo na kuahidi siku za usoni kuja kufanya jambo katika shule hiyo.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254

Post a Comment