" Simba Wamalizana na Kibu Denis, aanza safari mpya na Alnasserly

Simba Wamalizana na Kibu Denis, aanza safari mpya na Alnasserly

 

Klabu ya Simba imefanikiwa kumuuza nyota wake kiungo Mshambuliaji wa klabu hiyo Kibu Denis kwenda katika klabu ya @alnasser.ly baada ya taratibu zote za uhamisho kukamilika.

Kibu anaenda kuungana na nyota wenzake waliyowahi kukipiga katika klabu hiyo ambao ni Steven Mukwala pamija na kiungo Fabrice Ngoma.

  • Wasiliana nasi:
    📍 East African Spirits (T) Ltd
    📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254

Post a Comment

Previous Post Next Post