
Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans Sports Club, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Namungo.
Bao pekee la mchezo huo lilifungwa dakika ya 25 na nyota mpya wa Yanga, Laurindo Aurelio ‘Depu’, na kuipa timu hiyo pointi tatu muhimu.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment