" Dar City Yaichapa Vibaya Nairobi City Thunder

Dar City Yaichapa Vibaya Nairobi City Thunder

 

Dar City Yaichapa Vibaya Nairobi City Thunder
Timu ya Mpira wa Kikapu ya Dar City imeshinda mechi yake ya pili mfulululizo kwenye michuano ya mpira wa kikapu ya vilabu barani Afrika (Basketball Africa League) ya mwaka 2026 inayoendelea Nchini Afrika Kusini baada ya kuilaza Nairobi City Thunder ya Kenya kwa vikapu 90-85.

Dar City ya Nchini ya Nchini Tanzania sasa inakabiliwa na kibarua dhidi ya miamba ya Nchini Libya, Al Ahly Benghazi mchezo utakaopigwa Machi 31, 2026.

SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA

 
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA

  • Wasiliana nasi:
    📍 East African Spirits (T) Ltd
    📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254

Post a Comment

Previous Post Next Post