Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza wakati akifungua Mkutano wa 13 wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Barani Afrika uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katika Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha.
Sehemu ya Washiriki wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Barani Afrika wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) alipokuwa akifungua Mkutano wa 13 wa Kamati hiyo uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katia Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bw. Crispin Chalamila (kulia) akizungumza jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA), Bw. Ali Ali kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 13 wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Barani Afrika uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katika Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha.
Sehemu ya Washiriki wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Barani Afrika wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) alipokuwa akifungua Mkutano wa 13 wa Kamati hiyo uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katia Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (kulia) akifurahia jambo na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bw. Crispin Chalamila (kushoto) kabla Waziri huyo kufungua Mkutano wa 13 wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Barani Afrika uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katika Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha.
Sehemu ya Washiriki wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Barani Afrika wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) alipokuwa akifungua Mkutano wa 13 wa Kamati hiyo uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katia Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza wakati akifungua Mkutano wa 13 wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Barani Afrika uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katika Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha.
Sehemu ya Washiriki wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Barani Afrika (mstari wa mbele) wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) alipokuwa akifungua Mkutano wa 13 wa Kamati hiyo uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katia Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha. Wengine ni Watendaji na Wakurugenzi wa TAKUKURU.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akifuatilia Mkutano wa 13 wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Barani Afrika mara baada ya kufungua mkutano huo uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katika Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Sehemu ya Washiriki wa Kamati Tendaji ya Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Barani Afrika mara baada ya Waziri huyo kufungua Mkutano wa 13 wa Kamati hiyo uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katika Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi, Watendaji na Wakurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mara baada ya Waziri huyo kufungua Mkutano wa 13 wa Kamati hiyo uliofanyika leo tarehe 13 Aprili, 2026 katika Hoteli ya Forest Hill jijini Arusha.
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment