Na mwandishi wetu, Shinyanga
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema hajavunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupiga marufuku mikutano ya siasa nchini, akisisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kulinda amani, usalama na maslahi ya wananchi wengi.
Katambi amesema hayuko tayari kuona taifa linaangamia kwa kuacha kundi dogo la watu wenye maslahi binafsi likiendelea kukiuka haki za wananchi wengi.
Ameyasema hayo leo mkoani Shinyanga alipokuwa akizungumza na mamia ya wazee na wanachama wa Baraza la Ushauri la Wazee la Manispaa ya Shinyanga katika maadhimisho ya Siku ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wazee Duniani.
SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254

Post a Comment