
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa katika kukuza ushirikiano na Urusi, Tanzania itaendelea na mipango yake ya maendeleo pamoja na washirika wengine wa kimataifa kwani haijawekewa vikwazo vyovyote.
"Nataka nikuhakikishie kwamba Tanzania hatupo kabisa kwenye Sanctions (vikwazo) na tunajipanga kufanya maendeleo yetu," amesema Rais Samia.
Rais ameeleza hayo Juni 5, 2026 wakati akijibu swali la mwendesha mada katika Jukwaa la Kimataifa la Kiuchumi la St. Petersburg (SPIEF) nchini Urusi.
SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment