MTOTO APIGWA NA BABU YAKE, ASHINDWA KUTEMBEA KISA SHILINGI 34,000 Mtoto anayefahamika Kwa jina la Isaya Lukas mwenye umri wa miaka 14, mkazi wa Mtaa wa Tambukareli, Kata ya Ndembezi, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, amepigwa na babu yake na kufikia hatua ya kushindwa kutembea, baada ya kutuhumiwa kuiba kiasi cha shilingi 34,000.
SHY TALENT FILMS - CONTENT YA MWISHO DRAMA
🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA KAMPUNI YA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment