" BALAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU LABARIKI KUGAWA KWA JIMBO LA MAGU

BALAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAGU LABARIKI KUGAWA KWA JIMBO LA MAGU

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu Mpandarume akizungumza kwenye Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo katika Mkutano wa kawaida kupokea na kujadili taarifa za Utekelezaji wa Shughuli za Maendeleo kwa kipindi cha robo ya tatu ya Mwaka wa Fedha 2023/2024

Balaza hilo la Madiwani  Halmashauri  Wilaya ya  Magu limebariki kugawa kwa  jimbo la Magu

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe, Saimon Mpandarume baada ya Madiwani kueleza kilio chao cha Muda Mrefu,kwamba Maendeleo yamekuwa ayafiki kwa wakati kutokana na Jimbo hilo kuwa na kata 25 ukumbwa huo umekuwa unazolotesha Maendeleo ayafiki Kwa Wakati

Naye Diwani wa Kata ya Bujora Bunyanya John amesema kugawa kwa jimbo hilo Utarahisha huduma za Maendeleo hivyo bhac namuomba Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuona umuhimu wa Jimbo hili jipya

Kamati hiyo lmeuziliwa na viongozi mbali mbali wakiwemo wakuu wa idara kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Magu Pamoja na watendaji wa kata


 

 

Post a Comment

Previous Post Next Post