
KAMISHNA Jenerali wa Uhamiaji ametangaza rasmi nafasi za ajira mpya za Konstebo wa Uhamiaji kwa vijana wa Kitanzania wenye sifa stahiki, kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa chini ya Kanuni Namba 11(1) ya Kanuni za Uendeshaji za Uhamiaji za Mwaka 2018.
Aidha, waombaji wanatakiwa kuzingatia vigezo na masharti yatakayotajwa katika tangazo rasmi la ajira, ikiwemo sifa za elimu, umri, afya na maadili, kabla ya kuwasilisha maombi yao ndani ya muda uliopangwa.
Mwisho wa kutuma maombi ni Tarehe 11 January 2026
Kamishna Jenerali amesema zoezi hilo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuimarisha rasilimali watu ndani ya Idara ya Uhamiaji, sambamba na kutoa fursa za ajira kwa vijana wa Kitanzania.


🥃🍶 TUMIA VINYWAJI BORA VYA EAST AFRICAN SPIRITS – BEI RAFIKI, LADHA SAFI BILA HARUFU MBAYA
Wasiliana nasi:
📍 East African Spirits (T) Ltd
📞 +255 767 650 806 | +255 652 096 254
Post a Comment